*Nimekubali kujiunga na kikundi hiki ikiwa ni kwaajili ya kuinuana kiuchumi kwa kila mwanakikundi pia nimesoma vigezo na masharti yaliyo wekwa na wanakikundi na nimeyasoma hivyo naahidi kuyafuata Ili kuendana na matakwa ya wanakikundi kwaajili ya maendeleo ya kikundi